Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Nandy: Zuchu ni rafiki yangu na nazungumza naye sana kupitia WhatsApp
Kuhusu kile kilichozungumzwa kuwa @officialnandy ana ugomvi na @officialzuchu ameweka sawa kuwa yeye na Zuchu ni marafiki na huwa wanachati sana kupitia mtandao wa WhatsApp.
@officialnandy ameongeza kuwa mara ya mwisho kuchati na @officialzuchu ni baada ya Harusi na kwamba @officialzuchu alimpongeza baada ya kufunga ndoa na @billnass