Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Nay wa Mitego: kuna wasanii waoga walikataa kuimba kwenye album yangu
Album ya RAIS WA KITAA ya @naytrueboytz tayari imetoka kwenye platform mbalimbali na ameeleza kwa urefu zaidi.
@naytrueboytz ameongeza kuwa lengo la yeye kufanya Press kwenye stendi ya daladala ya Mawasiliano ni kiashiria kwamba yeye ni Rais wa Kitaa na ndio maana ameipelelea album hiyo Mtaani.