Burudani

Nay wa Mitego mikononi mwa BASATA tena kisa mashairi ya wimbo Alisema (Video)

Msanii wa muziki Nay wa Mitego aliitwa na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kwaajili ya kikao cha kuupitia wimbo wake mpya ‘Alisema’ ambao kwa sasa unafanya vizuri. Wimbo huo unadaiwa kuwa na maneno ambayo yanadaiwa kuwa na tatizo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents