
Mshambuliaji wa zamani wa Young Africans πΉπΏ na Azam Fc πΉπΏ Donald Dombo Ngoma (35) amejiunga na Hardrock Fc ya nyumbani kwao Zimbabwe πΏπΌ kama mchezaji huru.

β‘οΈ Lakini pia Hardrock imemsajili mshambuliaji wa zamani wa Baroka Fc πΏπ¦ Cleopas Dube πΏπΌ (34)






