Bongo5 Exclusives

Ngumi: Mfaume Mfaume atema cheche baada ya kumtwanga Keisi Ally ”Yoyote atakayekuja nampiga kwa KO” (+Video)

Bondia Mfaume Mfaume amesema kuwa kwa sasa yoyote atakayekuja kupambananaye basi atahakikisha anampiga kwa KO, mwanamasumbwi huyo ameyasema hayo baada ya kutoka kumchapa mpinzani wake, Keisi Ally kwa TKO.

Mfaume Mfaume amezipiga na Keisi Ally kwenye mchezo wa ufunguzi kabla ya pambano kuu baina ya Mtanzania Hassan Mwinyo na Mfilipino, Arnel Tinampay hawajapanda ulingoni.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents