HabariSiasa

Nikigundua kumuunga Mkono Lissu inawakera Nitakuwa Mwanaharakati Huru-Lema

“na nikigundua kwamba mimi kuwa mwanachama wa chama hiki @ChademaTz kwa maamuzi haya (kumuunga mkono Lissu) ambayo ni ya kidemokrasia sana yatawakwaza nitakuwa mwanaharakati huru nitasema sina chama lakini kamwe sitaweza kuwa mwana CCM.

“Maria Sarungi @MariaSTsehai sio mjumbe wa kamati kuu Fatma Karume @fatma_karume sio mjumbe wa kamati kuu Madeleka @PMadeleka sio mjumbe wa kamati kuu hatusemi kwa sababu tuna jina tunasema kwa sababu kuna hitaji la kusema.”

@godbless_lema akizungumza na wanahabari leo Januari 14 Dar Es Salaam.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents