Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Ningekuwa kiongozi Zumaridi angekuwa ndani – Steve

Steve Nyerere ameeleza kukerwa na alichozungumza Mfalme Zumaridi kuwa ameonana na Mungu.

Akiongea na @el_mando_tz @stevenyerere2 ameongeza kuwa ndio maana watu wengine wameanza kushawishika kuupenda Uislam kwa sababu anaamini kuna watu wanaharibu dini ya Kikristo.

@stevenyerere2 ameongeza kuwa laiti yeye angekuwa kiongozi Mfalme Zumaridi amgekuwa ndani sasa hivi.

Interview nzima ipo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

Written and edited by @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents