Mahojiano
Officiallyyn: Ngoma tulizorekodi na Tommy Flavour hazitoki tena, hatuna ukaribu (+ Video)
Aliyewahi kuwa mpenzi wake msanii wa Bongo Fleva ambaye yupo katika lebo ya @kingsmusicrecords @tommyflavour mwanadada @officiallyyn amefunguka sababu za wao kuachana.
Lakini kuna nyimbo walizitunga wakiwa wote vipi zitatoke ? na kuachana kwenu inaelezwa kuwa kwa sababu @officialalikiba hakubariki mahusiano yenu una chochote cha kuongea ?
Sikiliza majibu ya @officiallyyn