Mahojiano
Officillyyn: Alikiba ni mtu mzuri sana, Tommy Flavour siongei naye tumeachana (+ Video)
Aliyewahi kuwa mpenzi wake msanii wa Bongo Fleva ambaye yupo katika lebo ya @kingsmusicrecords @tommyflavour mwanadada @officiallyyn amefunguka sababu za wao kuachana.
Lakini kuna nyimbo walizitunga wakiwa wote vipi zitatoke ? na kuachana kwenu inaelezwa kuwa kwa sababu @officialalikiba hakubariki mahusiano yenu una chochote cha kuongea ?