Michezo
Onana ruksa kwenda Uarabuni

Manchester United wako tayari kumwachia kipa wa Cameroon Andre Onana, mwenye umri wa miaka 29, ajiunge na timu ya Saudi Arabia kwani dirisha la usajili kwa ligi hiyo bado liko wazi. (Teamtalk)

Kiungo wa Brazil, Casemiro (33), aliamua kubaki Old Trafford badala ya kwenda Al-Nassr ili kuongeza nafasi yake ya kucheza Kombe la Dunia 2026. (Goal)





