BurudaniPicha

Picha: Kinachoendelea katika ukumbi utakaofanyika sherehe ya Alikiba

Msanii Alikiba amefunga ndoa na mpenzi wake, Aminah Rikesh leo April 19, 2018 mjini Mombasa nchini Kenya. Hapo baada inatarajiwa kufanyika sherehe kubwa katika ukumbi wa Diamond Jubilee, hizi ni baadhi ya picha kwa kile kinachoenddelea ukumbini hapo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents