HabariPicha

Picha: Tetemeko la ardhi nchini Taiwan

Watu wanne wamefariki na wengine wamekwama katika majengo baada ya tetemeko la ardhi la ukubwa wa 6.4 lilopiga katika mji wa Hualien, Taiwan.

Majengo matano yanaripotiwa kuharibika vibaya na yapo katika hatari ya kuanguka, huku watu zaidi ya 140 hawajafikiwa na waokoaji.

Shirika la Habari la Taiwan limeripoti kuwa tetemeko lilopika usiku wa manane usiku ya Jumanne lilijeruhi watu 225.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents