Picha
Picha zaidi ya mmoja wa wanaume waliofukuzwa Saudi Arabia kwa kuwa handsome kupitiliza
Wakati kuna faida nyingi za mwanaume kuumbwa handsome, wanaume watatu raia falme za kiarabu, UAE, wamejikuta wakitimuliwa nchini Saudi Arabia kutokana na kuwa handsome kupitiliza.
Mamlaka za nchini humo zilifikia uamuzi huo kwa hofu kuwa uhandsome wa jamaa hao ungesababisha shida kwa wanawake wengi ambao wangeishia kuwapenda.
Omar Borkan Al Gala ni mmoja wa wanaume hao na hizi ndio picha zake. Swali kwa wasichana, unaweza kumkataa mpenzi wako wa sasa kwa uhandsome wa jamaa huyu?