HabariMichezo

Polisi Tanzania wamnasa Mwinyi Zahera 

Klabu ya Polisi Tanzania imefikia makubaliano na aliyekuwa kocha wa Klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera kuwa kocha Mkuu wa timu hiyo.

Makubaliano baina ya Kocha Mwinyi Zahera na Uongozi wa Klabu hiyo umefikiwa hii leo mkoani Kilimanjaro baada ya mazungumzo muda mrefu ya pande zote mbili.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents