Post Malone ametuma ujumbe kwa mashabiki wake, kuwafahamisha kuwa yuko sawa … huku pia akielezea ni nini hasa kilifanyika kusabbaisha adondoke jukwaani.
Mwimbaji huyo anasema wakati wa show yake hiyo ya acoustic kuna eneo kwenye jukwaa ambalo huachwa wazi kwa lengo la kupitisha vyombo vya chini endapo kuna set inatakiwa iwekwe wakati show inaendelea.
Jambo ambalo inaonekana alisahau alipokuwa akizunguka na kuanguka ndani yake.
Post alishukuru umati wa watu kwa kupaza sauti kupinga taarifa za uongo na kueleza kuwa kwenye jukwaa hilo kulikuwa na shimo kubwa kwenye na pia kuomba radhi kwa kukatisha show yake.