Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba SC, Aden Rage amekubali kiwango bora walichonacho watani zao Yanga SC bila kupepesa maneno.
“Sikufichi Yanga SC kwa sasa kwenye timu za Ligi Kuu wapo vizuri kuliko timu yoyote huo ndiyo ukweli.”- Aden RageYa
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba SC, Aden Rage amekubali kiwango bora walichonacho watani zao Yanga SC bila kupepesa maneno.
“Sikufichi Yanga SC kwa sasa kwenye timu za Ligi Kuu wapo vizuri kuliko timu yoyote huo ndiyo ukweli.”- Aden RageYa