HabariMichezo

Rais Dkt. Samia ashiriki mkutano wa AGRA

Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali kuhusu masuala ya kilimo katika mkutano wa AGRA uliofanyika kwenye ofisi za taasisi ya Bill na Melinda Gates jijini Washington, Marekani.

Mkutano huo pia umehudhuriwa na Waziri Mkuu mstaafu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn ambaye ni Mwenyekiti wa Mfuko wa AGRF pamoja na wadau mbalimbali wa kilimo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents