Habari

Rais Samia aandaliwa dhifa ya kitaifa Oslo Norway

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameshiriki dhifa ya kitaifa katika Kasri la Kifalme pamoja na Mwenyeji wake Mfalme Harald V wa Norway Jijini Oslo tarehe 13 Februari, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Kasri la Kifalme pamoja na Mwenyeji wake Mfalme Harald V wa Norway Kwa ajili ya kushiriki Dhifa ya Kitaifa Jijini Oslo tarehe 13 Februari, 2024.
Mfalme Harald V wa Norway akizungumza kwenye Dhifa ya Kitaifa aliyoiandaa kwa ajili ya mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Jijini Oslo tarehe 13 Februari, 2024.
Wageni mbalimbali wakiwa kwenye Dhifa ya Kitaifa Jijini Oslo tarehe 13 Februari, 2024.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents