Habari
Rais Samia Suluhu: Makampuni yanafungwa sio uongo, mwekezaji ana haki ya kuweka anayemuamini (+ Video)
“Makampuni yanafungwa sio uongo kutokana na kero wanazokutana nazo wawekezaji, waacheni ‘wa-enjoy’ kufanya biashara Tanzania“Kibali cha Kazi limekuwa janga, wahusika mnajikuta miungu watu.
Mnasumbua wawekezaji mnalazimisha aweke Mtanzania kila mwekezaji ana haki ya kuweka mtu anayemuamini yeye”