Siasa

Rais Samia Suluhu na Paul Kagame walivyotembelea kiwanda cha magari cha Volkswagen

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.@samia_suluhu_hassan akiwa na Mwenyeji wake Mhe. @paulkagame, Rais wa Rwanda baada ya kumaliza Ziara yake ya kutembelea Kiwanda cha Kisasa cha Magari cha Volkswagen Rwanda kilichopo Kigali Special Economic Zone chenye uwezo wa kutengeneza magari miundo 6 tofauti pamoja na kiwanda cha kutengeneza simu janja za aina tatu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents