Michezo

Ratiba nusu fainali ya ligi ya mabingwa wa Ulaya yatoka

Ratiba ya nusu fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa wa Ulaya imepangwa huko Nyon, Uswiss.

27F058D300000578-3053746-image-a-22_1429875813042

Ratiba inaonyesha FC Barcelona itakipiga dhidi ya FC Bayern Munich. Guardiola na Luis Enrique walikuwa kwenye kikosi kimoja cha Barca kilichokuwa kikifundishwa na Van Gaal msimu wa 1999/2000.

Kwa upande mwingine mabingwa watetezi wa kombe hilo, Real Madrid watacheza dhidi ya Juventus. Mechi za raundi ya kwanza zitachezwa Mei 5 na 6 na marudiano zitakuwa wiki moja itakayofuatia ya tarehe 12 na 13.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents