Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Ray Kigosi ajifananisha na Diamond Platnumz

@raythegreatest ameeleza kuwa lengo lake ni kuzalisha wasanii wapya akina @ireneuwoya8 @wemasepetu na wengine sio vizuri kujirudia kwenye movie.

@raythegreatest amemtolea mfano @diamondplatnumz kwa namna anavyoibua vipaji vipya na vinapa matunda.

Ameeleza kuwa focus yake sasa ni kuzalisha waigizaji wapya kwa lengo la movies mpya.

@raythegreatest ameongea hayo leo akipata ubalozi mpya wa kampuni ya Ulinzi ya KS4 Security

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents