Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Ray Kigosi: marehemu Kanumba na Irene Uwoya niliwatoa

Mkongwe huyo wa Bongo Movie @raythegreatest ameeleza namna wasanii wengi wa Bongo movie walivyopitia kwenye mikono yake.

Amewatolea mfano baadhi akimtaja marehemu Kanumba na @ireneuwoya8 lakini Thea na wengine.

@raythegreatest ametaka kuirudisha Bongo movie upya kama ilivyokuwa zamani.

@raythegreatest ameongea hayo leo akipata ubalozi mpya wa kampuni ya Ulinzi ya K4s Security

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents