BurudaniHabari

Rayvanny aache kwenda na Trends anashusha thamani yake

Kupitia kwenye kipindi chake pemdwa cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia namna #Rayvanny na #Harmonize wanavyofanya muziki wao.

@el_mando_tz anaongeza kuwa #Rayvanny na #Harmonize wanashindwa kuzifanyia Promo kazi zao pia hawaziachii nafasi.

Amenukuu kauli ya @sallam_sk kuw akuna ngoma zimtoka nyingi nzuri ila hazijafanya vizuri kwa sababu wasanii wengi hawawekezi kwenye Promo.

Mbali na hilo @el_mando_tz amemshauri Rayvanny aache kwenda na TRENDS maana anashusha thamani yake.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents