Burudani

Rayvanny amtambulisha msanii wa kwanza kwenye label yake ya Next level music

Baada ya kuanzisha label yake msanii @rayvanny ambaye yupo chini ya lebo ya WCB siku ya jana amemtambulisha maanii wa kwanza kupitia label yake ya @nextlevelmusic_tz

Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii ya @nextlevelmusic_tz na pia @rayvanny amemtambulisha msanii huyo anayejulikana kwa jina la @macvoice_tz

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents