Burudani

Rayvanny kwenye album ya Zlatan wa Nigeria

Recently mmoja kati ya Rappers wanaofanya poa kwasasa kwenye game ya music nchini Nigeria @zlatan_ibile ameachia tracklist ya album yake mpya ambayo ameipa jina la ‘RESAM’

Album ambayo imesheheni jumla ya ngoma 12, collabo zikiwa 6 na kati ya 6 hizo ni moja tu ambayo inazikutanisha West Africa, East Africa & South Africa.

Track number 11 ‘Energy’ humo ndani unamkuta Mbeya Boy @rayvanny na @shomadjozi kutoka South Africa. Swipe Left ku-feel the Vibe kisha drop comment yako.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents