Burudani
RECAP: Billnass ameridhika, hana njaa tena kwenye muziki – El Mando

Kupitia kipindi cha Recap na Mando @el_mando_tz ametoa maoni yake juu ya Rapper @billnass mara baada ya kuachia ngoma yake ya “Division One”, @el_mando_tz anadai Billnass ameridhika hivi sasa kutokana na mafanikio yake nje ya muziki hana njaa kama awali.
Je, unakubaliana na @el_mando_tz kuhusu @billnass ??
Kuangalia video Kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongofive





