Burudani

RECAP: Darassa anabaniwa na G Nako, BillNass – El Mando

bongofive Kufuatia lawama zilizotolewa na Darassa kuwa kuna namna wasanii wenzake Billnass na G Nako wanamtengenezea figisu kwenye muziki kwa kufanya collabo na hawazitoi.

@el_mando_tz kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO amezungumzia sakata hilo na kumpigia simu G Nako kutolea ufafanuzi sakata hilo.

Msikilize G Nako na tayari Uchambuzi wote upo kwenye akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

 

 

 

 

 

Cameraman & Editor @samirkakaa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents