BurudaniDiamond Platnumz

RECAP: Kuna Mashabiki wa Muziki hawapendi Live – El Mando

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia mjadala ulioanzishwa na wadau wa burudani mitandaoni kuwa Msanii asiyejua kuimba Live sio msanii mkali.

Kupitia kwenye kipindi chake kasema sio kweli msanii alisipojua kufanya Live sio msanii mkali, ametolea mfano wasanii wakubwa duniani ambao asilimia kubwa hawafanyi Show za Live.

Anasema Ubora na ukali wa msanii haupimwi kwa kujua kuimba LIVE, unaweza kuimba Live lakini usiwe msanii mkali.

Kwa upande wako unasemaje, Unakubali kuwa msanii asiyejua kufanya Live sio msanii mkali??

Uchambuzi mzima Upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

Cameraman @samirkakaa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents