BurudaniDiamond Platnumz

RECAP: Lavalava & D Voice ni Biashara zilizofeli WCB?? – El Mando

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amejibu na kufafanua wale wanaosema D Voice na Lavalava ni biashara zilizofeli pale WCB.

Haya yamekuja baada ya Diamond kutangaza kusaini msanii mpya katika lebo yake ya WCB na baadhi ya mashabiki kuanza kusema kuwa:-

Diamond ameamua kusaini msanii haraka baada ya Biashara ya D Voice kufeli katika lebo yake ya WCB, wengine wameenda mbali na kusema pia Lavalava.

Kwa upande wake @el_mando_tz amefafanua na kusema kkuna asilimia kadhaa wapo sahihi na zingine hawapo sahihi.

Amefafanu kwanini mashabiki wanahisi vile.

Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

 

Cameraman & Editor @samirkakaa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents