BurudaniDiamond Platnumz
RECAP: Washindani wa Diamond ni kina Wizkid & Burnaboy – El Mando

Kupitia kwenye kipindi chake cha @recap_mando @el_mando_tz ameizungumzia kauli ya msanii Diamond ya kuwa Mwezi October ni mwezi wa mashabiki wake ku-enjoy
muziki wake.
@el_mando_tz anasema Diamond kwa sasa sio msanii wa
Bongo Fleva au msanii wa Tanzania bali ni msanii wa dunia
nzima.
Hata Ujumbe wake angetakiwa kuandika katika Lugha ambayo itaeleweka kwa mashabiki wake wa ndani na nje ya
Tanzania.
Hata anapofanya muziki anatakiwa alenge soko la wakubwa wenzake sio soko la ndani tena, anatakiwa kulenga soko la kushidana na akina Burna boy, Wizkid maana ndani atakuwa
anawaonea tu wenzake.
Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ya YouTube ya bongo5.
Cameraman @johnbosco_mbanga





