Akiwa na collabo moja tu kwa wasanii kutoka Afrika Mashariki ambaye ni @diamondplatnumz @navykenzoofficial huenda wakapata bahati ya kufanya kazi na rapa kutoka nchini Marekani @richforever
Siku ya jana wakiwa wanaongea Insta live aliomba kufanya remix ya ngoma ya Sip n Whine ya @aikanavykenzo
Baadae akaomba waicheze ili watu wanaowafuatilia live waijue ngoma hiyo.