Burudani

Roma ampongeza Alikiba kwa kutoa album isiyo na maneno mabaya

Kupitia ukurasa wake wa Twitter rapa huyo wa Bongo Fleva ambaye yupo Marekani ameandika kuwa:-

Album Nzima Ya Mwana, Miwa 16 Na Sijasikia Neno #iingize #ipekeche #ifinyieKwaNdani #ilambe #ipepete #isugue #ichachafye #ikalie #imanulie #itekenye #isosomole #ipinde #ichomoe #ibinyebinye #imwagie #ikatikie Artists Wa Kuimba Kuna Cha Kujifunza Hapa!! Au Nisiwapangie Maisha?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents