Michezo

Ronaldo kinara wachezaji 10 wanaolipwa zaidi duniani

Kuanzia asubuhi ya leo habari kubwa mitandaoni ni kuhusu wachezaji 10 wanaolipwa zaidi duniani kwa kuangazia mikataba yao kwenye timu zao inayojumuisha mishahara lakini pia miakataba na makampuni mbalimbali (Endorsement)

Katika orodha hiyo ambayo imejumuisha wachezaji 10 mchezaji wa Manchester United Cristiano Ronaldo amekuwa kinara wa wenzake.

ORODHA HII HAPA CHINI.

1. Cristiano #Ronaldo – $125m

2. Leo #Messi – $110m

3. #Neymar – $95m

4. Kylian #Mbappe – $43m

5. Mo #Salah – $41m

6. Robert #Lewandowski – $35m

7. Andreas #Iniesta – $35m

8. Paul #Pogba – $34m

9. Gareth #Bale – $32m

10. Eden #Hazard – $29m

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents