Michezo
Ronaldo kinara wachezaji 10 wanaolipwa zaidi duniani
Kuanzia asubuhi ya leo habari kubwa mitandaoni ni kuhusu wachezaji 10 wanaolipwa zaidi duniani kwa kuangazia mikataba yao kwenye timu zao inayojumuisha mishahara lakini pia miakataba na makampuni mbalimbali (Endorsement)
Katika orodha hiyo ambayo imejumuisha wachezaji 10 mchezaji wa Manchester United Cristiano Ronaldo amekuwa kinara wa wenzake.
ORODHA HII HAPA CHINI.
1. Cristiano #Ronaldo – $125m
2. Leo #Messi – $110m
3. #Neymar – $95m
4. Kylian #Mbappe – $43m
5. Mo #Salah – $41m
6. Robert #Lewandowski – $35m
7. Andreas #Iniesta – $35m
8. Paul #Pogba – $34m
9. Gareth #Bale – $32m
10. Eden #Hazard – $29m