Michezo
Sadio Mane akabidhiwa namba ya Coutinho, Salah aonyesha uwezo kwenye kikapu
Sadio Mane akabidhiwa namba ya Coutinho, Salah aonyesha uwezo kwenye kikapu
Nyota wa klabu ya Liverpool, Mohamed Salah na Sadio Mane wamerejea hii leo siku ya Ijumaa huko Melwood tayari kwaajili ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu nchini Uingereza.
Jezi namba 10 ndani ya Liverpool imewahi kuvaliwa na wachezaji kama, John Barnes, Joe Cole, Luis Garcia, Michael Owen na Andriy Voronin.
Mane na Salah walikuwa kwenye michuano ya kombe la dunia ambapo waliwakilisha mataifa yao.