Sallam kuhusu kuukataa mkono wa Harmonize ‘Sipendi unafiki’
Akiongea kuputia Radio ya MjiniFm @sallam_sk ameeleza kuwa sababu ya kuukata mkono wa @harmonize_tz siku ya msiba wa mke wa @babutale ni kwa sabahu @harmonize_tz alikataa mkono wake offcamera
Ila baada ya @harmonize_tz kuona Camera akajifanya anampa mkono na ndio maana aliukataa.
@sallam_sk ameongeza kuwa watu wote wa @kondeGang akiwepo @ibraah na meneja wa Harmonize Chopa aliwapa mkono ila kasoro Harmonize tu na ni kwa sababu hapendi unafiki.
Akiongea kuputia Radio ya MjiniFm @sallam_sk ameeleza kuwa sababu ya kuukata mkono wa @harmonize_tz siku ya msiba wa mke wa @babutale ni kwa sabahu @harmonize_tz alikataa mkono wake offcamera
Ila baada ya @harmonize_tz kuona Camera akajifanya anampa mkono na ndio maana aliukataa pic.twitter.com/KFwvwedJJz
— bongo5.com (@bongofive) December 23, 2022