BurudaniHabariMahojiano

Sallam Sk; Kuwa meneja wa Harmonize ni kujishushia heshima

Kwanza @sallam_sk ameweka wazi kuwa yeye bado meneja wa @diamondplatnumz kwa maana hiyo amejibu lile swali kuwa ukaribu wake na @diamondplatnumz sio kwa ubaya ni kwa sababu alikuwa anasimamia radio yake.

Pili amevunja ukimya kuwa kwenda kuwa meneja wa @harmonize_tz pale Konde Gang ni kujishushia heshima.

@sallam_sk ameeleza kuwa kama @harmonize_tz anataka kufanya naye kazi basi arudi WCB au yeye afungua lebo amsaini Harmonize.

@sallam_sk pia amesimulia tukio lake na @harmonize_tz la kusalimiana Zanzibar.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents