Habari
Serikali haijakataza barakoa – Rais Magufuli
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kuwa makini na barakoa wanazovaa kwani zipo nyingine ambazo sio salama huku akiweka wazi kuwa wachukue tahadhari zaidi ikiwemo kujifukiza kwani hata wasaidizi wake wameugua na wamepona.