BurudaniDiamond Platnumz

Show ya Alikiba Nairobi yapagawisha mashabiki – El Mando

Leo kupitia #HotonTheFeed @el_mando_tz amezungumzia Show ya Alikiba aliyoifanya siku ya Jana katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Amepongeza namna Alikiba alivyoi-dedicate Show yake kwa Hayati Raila Odinga na Wakenya kupendezeshwa na tamko hilo.

Mbali na hilo @el_mando_tz ameletw mjadala akiuliza huenda Alikiba ndio akawa msanii wa Afrika Mashariki anayependwa zaidi Kenya??

Sikiliza sababu zake kisha toa maoni yako.

 

 

 

Editor @kashmill_99

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents