Michezo

Simba dhidi ya AS Vita na point 3 muhimu – Uchambuzi na Abbas Pira (+Video)

Mechi ya mwisho kati ya Simba dhidi ya AS Vita Club ilimalizika kwa ushindi wa 2-1 Mnyama akafanikiwa kufuzu kuingia hatua ya Robo Fainali ya CAF Champions League mchezo uliyopigwa kwenya Uwanja wa Benjamin Mkapa. Je safari hii Simba itafanikiwa katika hilo, @abbas__pira anazungumzia ubora wa vikosi vyote viwili kabla ya mtanange huo.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents