Michezo
Simba kwa Mkapa ndio basi tena

Updates π
β‘οΈ Simba Sc πΉπΏ itacheza mechi yake ya kwanza ya nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Stellenbosch πΏπ¦ katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar Aprili 20.

β Kuanzia kesho Jumatatu, hamasa zitaanza kufanyika Zanzibar tayari kwa mechi hiyo.




