HabariMichezo

Simba Queens watinga nusu fainali ligi ya mabingwa Afrika

Timu ya @simbaqueensctz imeandika historia kwenye soka la wanawake ngazi ya klabu nchini kwa kufanikiwa kuingia Nusu Faifali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya timu ya Green Buffaloes

Magoli ya @simbaqueensctz yakifungwa na Asha Djafar dakika ya 64 na Opah Clement 78’

Mchezo wa Nusu Fainali @simbaqueensctz itacheza dhidi ya AS FAR Club kutoka kundi A.

Imeandikwa na Hamza Fumo Instagram @fumo255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents