Michezo

Simba Queens yashusha mafuriko ya magoli kwa watani Yanga Princess 

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu sika ya Wanawake Nchini Simba Queens wamefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4 – 1 dhidi ya watani zao wa jadi Yanga Princess kwenye mchezo uliyopigwa leo Januari 8, 2022 katika dimba la Benjamin Mkapa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents