HabariMichezo

Simba SC waipokea Al Hilal SC ya Sudan (Video)

Klabu ya Simba imewakaribisha Al Hilal SC ya Sudan kwaajili ya kuweka kambi yao hapa nchini kwaajili ya kujianda na michuano ya Afrika. Wakiwa Tanzania Al Hilal watacheza michezo mitatu ambayo ni dhidi ya Azam FC, Namungo na Simba SC.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents