Michezo
Simba yamrudisha Chama kutoka RS Berkane ya Morocco

Klabu ya Simba kupitia mitandao yao ya kijamii wametangaza kumrejesha kundini aliyewahi kuwa mchezaji wao Clatous Chama ambaye alisajiliwa na klabu ya RS Berkane kutoka nchini Morocco.
Klabu ya Simba kupitia mitandao yao ya kijamii wametangaza kumrejesha kundini aliyewahi kuwa mchezaji wao Clatous Chama ambaye alisajiliwa na klabu ya RS Berkane kutoka nchini Morocco.