HabariMichezo

Simba, Yanga nani mwenye mechi ngumu ya CAF (+Video)

Kwa mujibu wa mchambuzi wa Kabumbu nchini @allimzuri20 kupitia #B5Sports ya Bongo5 amedai kuwa Klabu ya @yangasc ina mechi ngumu zaidi ukilinganisha na watani zao @simbasctanzania wikiend hii pale kwa Mkapa.

Mzuri ameyasema hayo huku akitoa tathimini yake kwa baadhi ya mechi za Kimataifa ambazo Wananchi Yanga wamecheza na matokeo waliyopata.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents