Mdhamini Mkuu wa Klabu ya Yanga Kampuni ya SportPesa imetoa taarifa ya kusikitishwa kwake na uamuzi uliochukuliwa na Uongozi wa Young Africans SC wa kukiuka makubaliano ya kimkataba na kuzindua jezi mpya zenye jina la mfadhili mwingine.
Mdhamini Mkuu wa Klabu ya Yanga Kampuni ya SportPesa imetoa taarifa ya kusikitishwa kwake na uamuzi uliochukuliwa na Uongozi wa Young Africans SC wa kukiuka makubaliano ya kimkataba na kuzindua jezi mpya zenye jina la mfadhili mwingine.