Wasanii wa Filamu @stevenyerere2 na @monalisatz wakiwa ndani ya ukumbi wa bunge jijini Dodoma, kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano.
Wasanii hao wakionekana kufuatilia kwa makini Kikao cha 58 cha Bunge la 12 Leo Bungeni Dodoma.
Imeandikwa na @fumo255