Sweet Love: Nameless na Wahu waadhimisha miaka 9 ya ndoa yao, watumiana ujumbe mtamu
Si jambo rahisi kwa ndoa ya mastaa kudumu kwa miaka mingi ikiwa bado imara, lakini hilo limewezekana kwa couple ya mwimbaji wa ‘Nasinzia’ David Mathenge aka Nameless na mwimbaji wa ‘Sweet Love’ Wahu Kagwi Mathenge maarufu kama Wahu wa Kenya, ambao leo (September 10) wanasheherekea miaka 9 ya ndoa yao na kuudhihirishia ulimwengu kuwa ‘MV Mapenzi’ yao bado inakata mawimbi.
Kupitia Twitter wazazi hao wa watoto wawili wameandikiana ujumbe mzuri kusheherekea siku yao.
Tweet ya Nameless kwa mke wake Wahu:
“Today It’s been 9 years since we said “I do!” we still strong! Happy anniversary to the love of my life @wahukagwi” Tweet ambayo Wahu ameretweet.
Today It's been 9 years since we said "I do!" we still strong! Happy anniversary to the love of my life @wahukagwi pic.twitter.com/6RAC9BBewQ
— #Butterfly™ (@namelesskenya) September 10, 2014
Wahu naye alijibu:
“9 years since you stepped out of that boat and into my arms. With your father’s blessings. love you @wahukagwi”. Nameless pia ali retweet.
@namelesskenya happy anniversary babe!!!! 9 years later YOUR STILL THE ONE!! AND WILL ALWAYS BE!! Forever love!!! 🙂
— wahu kagwi (@wahukagwi) September 10, 2014