Michezo
TAARIFA:Kocha Miguel Gamondi afutwa kazi rasmi Yanga (Video)

Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi afutwa kazi rasmi baada ya kusitishiwa mkataba na klabu yake leo hii.

Yanga kwa sasa tayari washapata mbadala wake na muda wowote kuanzia sasa watamtangaza Mbadala wa Miguel Gamondi.




